Juu Yetu
Dira
Huduma bora za afya kwa watanzania wote
Dhamira
Sikika inafanyakazi kuhakikisha usawa na upatikanaji wa huduma bora za afya kwa kutathmini mifumo ya afya na uwajibikaji katika ngazi zote za serikali.
Malengo
Sikika imedhamiria kufanikisha malengo makuu ya fuatayo:
-
Kukuza ufanisi katika bajeti ya sekta ya afya, uwazi na uwajibikaji katika ngazi zote za Serikali kuu naSerikali za Mitaa
-
Kuongeza kasma inayotengwa, mgawanyo wenye uwiano wa watumishi wa afya na uzingatiaji wa maadili ya taaluma ya afya.
-
Kuongeza uwepo na upatikanaji,wa dawa na vifaa tiba katika ngazi zote za utoaji wa huduma za afya
-
Kukuza uwajibikaji katika usimamizi wa rasilimali za shughuli za UKIMWI katika ngazi zote za Serikali kuu na Mitaa.
|