LANGUAGE :
English | Swahili

Makundi ya Machapisho

Taarifa kwa Umma

  • TAARIFA MAALUMU KUTOKA WIZARA YA AFYA:Ufafanuzi wa taarifa mbalimbali zilizotolewa dhidi ya dawa ya ARVs: Mei 16, 2013

    Ufafanuzi wa taarifa mbalimbali zilizotolewa kwenye vyombo vya habari dhidi ya dawa bandia ya kupunguza makali ya ukimwi (ARVs) yenye jina la biashara tt-vir 30 toleo namba 0c.01.85.

    ...
    Soma zaidi
  • TAARIFA: Sikika haijawahi kuhusika kuandaa maandamano ya WAVIU: May 10, 2013

     

    Tumesikitishwa na kauli iliyotolewa bungeni na Mh. Zarina Madabida, mbunge wa viti maalum, mnamo Mei 8, 2013 akid ...
    Soma zaidi

  • Taarifa: Bunge lijadili ripoti za CAG kwa Uwazi Aprili 09, 2013

     

    Sikika inapenda kuamini kwamba taarifa zilizochapishwa kwenye magazeti mbali mbali kuhusu Bunge kutojadili ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) katika mkutano huu wa 11 ...
    Soma zaidi

  • Global movement launches international campaign to demand open and inclusive budgets

    ...
    Soma zaidi
  • Taarifa: Sikika yampongeza Waziri Mwinyi kwa Kuwajibika

    Sikika inapenda kumpongeza Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hussein Mwinyi kwa kuweka bayana na kukiri kwamba kuna uhaba mkubwa wa dawa muhimu za kutibu malaria, maarufu kama dawa mseto (Alu) katika vituo vingi vya huduma za afya vya umma nch ...
    Soma zaidi

  • Shortage of antimalarial drugs – Ministry should stop arguments and distribute the drugs! Feb 10, 2013

     

    Sikika has been disturbed by the Ministry of Health and Social Welfare’s statement to the public that there are sufficient anti-malarial drugs– “ALu“ at health facilities across the country, contrary to the reality on the ...
    Soma zaidi

  • Taarifa: Wizara iache ‘siasa’ na malumbano, isambaze dawa za ALu!

    Sikika imeshangazwa na taarifa za Wizara ya Afya na Ustawi waJamii kwamba kuna dawa za kutosha aina ya ALU za kutibu malaria   hapa nchini wakati ambapo vituo vya kutolea huduma vya umma vina uhaba ...
    Soma zaidi

  • Taarifa ya kukithiri kwa Uhaba wa dawa za Malaria nchini 29 Januari, 2013

    Dawa muhimu za malaria zijulikanazo kama dawa mseto (ALu) zimeripotiwa kuadimika katika vituo vingi vya huduma za afya vya umma. Wizara ya Afya  na Ustawi wa Jamii kupitia mradi wa msonge (vertical program) unaoratibiwa na M ...
    Soma zaidi

  • Taarifa: Halmashauri yakata kutoa taarifa kwa taasisi isiyo ya serikali

     

    Mganga Mkuu wa Wilaya (DMO)  katika halmashauri ya Wilaya ya Iramba amekataa ku ...
    Soma zaidi

  • CSOs Statement to Joint Annual Health Sector Review - 5 November, 2012

     

    Honourable Ministers, Permanent Secretaries, honourable Members of Parliament, Chief Medical Officer, staff of the Ministry of Health and Social Welfare, PMO-RALG, representatives of the private sector, development partners, ladies and gentleman, ...
    Soma zaidi

  • DAWA BANDIA – ARV: Maswali zaidi yanahitaji majibu 11 Oktoba, 2012

     

     

    Read more --> Soma zaidi

  • Kifo cha Daudi Mwangosi: Unyama huu hadi lini? Septemba 2012

     

    Sikika imepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha mwandishi wa habari wa kituo cha Channel Ten mkoani Iringa, Daudi Mwangosi.  Kwa mujibu wa vyombo vya habari, marehemu Mwangosi alikuwa kazini akitimiza wajibu wake wa kutafuta habari. Tumestushwa zaidi ...
    Soma zaidi

  • Wilaya zakwamisha utoaji taarifa za CAG 15 Juni 2012

    Halmashuri za Ilala,Temeke, Kinondoni, Kibaha, Kondoa, na Singida zimeshindwa kutoa kwa wananchi na mashirika ya hiyari taarifa za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali CAG, (2011/12) za wilaya hizo.

    Hatua ya kushindwa kutoa taa ...
    Soma zaidi

  • Wabunge hawa ni mfano wa kuigwa Juni 4, 2012

      

    Tunawapongeza wabunge kutoka kamati za Kudumu za Bunge za Huduma za Jamii, Katib ...
    Soma zaidi

  • Viko wapi vitabu vya makadirio ya Bajeti? Mei 27, 2012

     

    Viko wapi vitabu vya makadirio ya Bajeti?

    Tumesikitishwa na hatua ya Serikali kushindwa  kutoa vitabu vya makadirio ya bajeti, siku 21 kabla ya kikao cha Bunge la bajeti kuanza, jambo ...
    Soma zaidi

  • Hali ya mgomo wa madaktari na haki ya kuishi

     

    Kuanzia tarehe  24 Januari 2012 hadi sasa tumeshuhudia mgomo mkubwa wa madaktari katika hospitali za serikali kwenye mikoa ya Dar es salaam,Dodoma, Mwanza, Kilimanjaro, Mbeya na Tanga,hali inayotishia afya na uhai wa watanzania.  Kutoka ...
    Soma zaidi

  • Serikali na madaktari wachukue hatua za haraka kuokoa maisha ya Wananchi, 26 Januari 2012

     

    Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii inatakiwa kuchukua hatua za haraka kumaliza mgogoro baina yao na madaktari ili kuepusha madhara makubwa katika upatikanaji wa huduma za afya nchini. Ijulikane kuwa, jukumu la awali la wizara kwa kushirikiana na m ...
    Soma zaidi

  • Wananchi walioarifiwa – Bajeti iliyoarifiwa

     

    Taarifa kuhusu bajeti zilizotolewa hivi karibuni katika tovuti ya Wizara ya Fedha na Uchumi zimesaidia kuwawezesha wananchi kufuatilia mjadala wa bajeti na kuishauri serikali jinsi ya kutatua kero zinazowakabili.

    Vitabu vya bajeti ni nyaraka muhimu inayofafanua jin ...
    Soma zaidi

  • Upungufu wa madawa walemaza Sekta ya Afya, Oktoba 2011

     

     

    Read more --> Soma zaidi

  • Hitilafu za Bajeti zaiangusha Wizara ya Afya Mei 29, 2011

    Bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ya mwaka 2010/2011 imejaa mipango isiyofaa na isiyozingatia kanuni, uhalisia na ufanisi hali inayoifanya ishindwe kufanya kazi zake ipasavyo.


    Hayo yamebainika kwenye uchambuzi wa bajeti ya Wizara hiyo ya mwaka 2010/11 uliofanywa n ...
    Soma zaidi

  • MoHSW Budget Discrepancies Counterproductive

    The Ministry of Health and Social Welfare’s 2010/2011 budget is non-conforming, unrealistic, ineffective and inconsistent which is likely to contribute to its malfunctioning.


    This revelation follows the Ministry’s 2010/11budget analysis conducted by Sikika, an N ...
    Soma zaidi

  • Kamati za Bunge kuanza bila nyenzo

    Wakati Kamati za Bunge zikianza kesho(Jumatatu) ikiwa ni maandalizi kwa ajili ya Kikao cha Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2011/2012, bado Wabunge hawajakabidhiwa vitabu vya makadirio ya mapato na matumizi ya serikali kwa mwaka huo wa fedha hali ambayo itadhoofisha uwezo wao wa kuchangia ...
    Soma zaidi

  • Government Failed!

    The Government has failed to avail 2011/2012 budget books to Members of Parliament 21 days before the Parliament budget session as requested by Parliamentary Standing Orders.


    According to Article 96 of the Parliamentary Standing Orders (2007 Edition), Members of Parliament ...
    Soma zaidi

  • Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ifungwe

    Kwa miaka kadhaa sasa, serikali imeshindwa kufuatilia matokeo na mapendekezo ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa serikali, na hivyo kukosa uwezo wa kuboresha usimamizi wa fedha za umma. Kwa mwaka 2010 kwa mfano, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali ametoahati yenye mashaka kwa Wizara ya A ...
    Soma zaidi

  • Hatua kali zichukuliwe dhidi watumishi wa afya wanaojihusisha na rushwa!

    Serikali ichukue hatua kali dhidi ya watumishi wa afya wanaothibitika kujihusisha na vitendo vya rushwa wakati huohuo wananchi wasifumbie macho matukio ya rushwa kama tuna nia ya dhati ya kuondoa tatizo la rushwa katika vituo vya afya.

    Hivi karibuni, vyombo vya habari vimeripoti kwa ...
    Soma zaidi

  • Tighten screws on corrupt health workers!

    The government should take strict measures against corrupt health workers while the general public put an end to befriending corrupt health workers if any hopes of reducing the vice are to be entertained.


    Recently, the media reported that midwives at Temeke hospital refused ...
    Soma zaidi

  • Tsh176million squandered through congratulatory adverts, April 2011

    After the 31st October 2010 general election, various government departments and parastatal organizations spent Tsh 175, 639,750 on 217 congratulatory messages to winners, in the form of advertisements which have been published in various newspapers and other forms of media from the 8th of Nov ...
    Soma zaidi

  • Million 176 zatumika kutuma salamu za pongezi, Aprili 2011

    Baada ya uchaguzi mkuu wa kugombea urais uliofanyika tarehe 31 Oktoba 2010, Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia taasisi, idara na mashirika mbalimbali ya umma ilitumia shilingi 175,639,750 kwa ajili ya kutoa salamu 217 za pongezi zilizochapishwa katika vyombo mbalimbali vya ha ...
    Soma zaidi

  • Make budget books available on time! Feb 2011

    Timely publishing of national budget information to the general public and legislators, by the
    government, is a vital step towards increasing transparency in the budgeting process. It also serves as a
    model for other countries all over the world.

    A speech presented b ...
    Soma zaidi

  • Kuweka wazi vitabu vya bajeti! Feb 2011

    Serikali kuweka wazi vitabu vya bajeti kwa wananchi na wabunge ni jambo muhimu katika
    kuhimiza Uwazi na uwajibikaji katika mchakato wa bajeti.Pia ni mfano wa kuigwa kwa nchi
    nyingine.

    Katika hatuba iliyotolewa tarehe 7 Desemba 2010 na kamishina wa bajeti bi Monica Mw ...
    Soma zaidi

  • Vichanga vilivyotupwa jalalani Mwananyamala kwa kopa, Feb 2011

    Sikika imepokea kwa masikitiko makubwa sana habari za kugundulika kwa miili 10 ya watoto wachanga waliokuwa wametupwa katika shimo dogo la takataka huko karibu na eneo la makaburi ya Mwananyamala kwa Kopa tarehe 31 Januari 2011. Kwanza tunatanguliza pole kwa wahusika pamoja na wakazi wa eneo a ...
    Soma zaidi

  • Uhaba wa wafanyakazi wa Afya, ni kushindwa kwa Serikali kuwajibika, Dec 2010

    Maafisa utumishi wa halmashauri na watumishi wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma wanapaswa kuangalia mafanikio yao kwa kutatua tatizo la uhaba wa wafanyakazi wa afya, ambalo linarudisha nyuma ubora na ufanisi wa utoaji wa huduma za afya. Wanapaswa kushirikiana kwa ukaribu na Wizar ...
    Soma zaidi

  • Health worker shortages, a government's failure to be accountable, Dec 2010

    Councils’ Human Resources Officers and President’s Office for Public Services Management (PoPSM) officials should look to their laurels by addressing council specific medical staff shortages that compromise quality and quantity of healthcare service delivery. They should closely co ...
    Soma zaidi

  • Hon Maige's 'cleaning' of ministry commendable, Dec 2010

    The Minister of Natural Resources and Tourism, Ezekiel Maige’s move to ‘clean’ by investigating misdeeds committed in the ministry and imposing a ban on international trips is the right step in the direction of reducing unnecessary use of taxpayer’s money.

    Soma zaidi

  • CSO statement to PMO-RALG, Oct 2010

    ...
    Soma zaidi
  • Rushwa Ndogo Ndogo Inachafua Taaluma ya Utatibu, Oct 2010

    Rushwa hapa nchini, imejitokeza katika aina mbili; rushwa ndogondogo na rushwa kubwa. Rushwa ndogo ndogo imekuwa tishio kwa Serikali kwani zimeendelea kukithiri katika sekta ya afya. Hali hii siyo tu inawaathiri watu wenye kipato cha chini (wasio na uwezo wa kutoa hongo), bali pia inachafua ta ...
    Soma zaidi

  • Petty corruption taints medical profession, Oct 2010

    With corruption in this country rearing its ugly head in form of both petty and grand corruption, it has been a thorn in the flesh for the government as it continues to dominate the health sector and not only disadvantaging those without the means (the poor) but tainting the reputation of the ...
    Soma zaidi

  • CSO statement to JAHSR - Sept 2010

    ...
    Soma zaidi
  • CSO statement to Joint HIV/AIDS Biennial Review - Sept 2010

    ...
    Soma zaidi
  • Unnecessary expenditures to rise 537 bn Tsh by (2010/11)FY

    Despite the insufficient funds for the national budget, there are items in this budget that are
    considered unnecessary due to their perceived negligible utility to the majority of Tanzanians.


    It is fortunate that the government has also recognized this problem of un ...
    Soma zaidi

  • Matumizi yasiyo ya lazima kuongezeka kufika Tsh. 537bn kwa mwaka wa fedha 2010/11

    Pamoja na ufinyu wa bajeti ya taifa, kuna baadhi ya vipengele katika bajeti hii ambavyo
    vinaonekana kuwa havina tija kutokana kwamba haviwanufaishi watanzania walio wengi.


    Ni bahati kwamba serikali pia inalitambua tatizo hili la matumizi yasiyo ya lazima kwa wananch ...
    Soma zaidi

  • Protect yourselves against cholera: Wananchi, Sept 2010

    Citizens should be on high alert and guard against cholera following an outbreak of the
    obnoxious disease claimed four in Tarime recently.


    According to media reports, doctors coordinating an anti-cholera campaign in the district
    revealed that the number of c ...
    Soma zaidi

  • Health sector challenges not a license to corruption, August 2010

    Health officials should shun corruption and do their work diligently despite challenges they
    might face.


    This comes amid reports that expectant mothers at Nyamongo village in Tarime District are
    complaining over corrupt practices shrouding services at Sungus ...
    Soma zaidi

  • Stop using abusive language: Health Officials and Workers, July 2010

    Medical practitioners should desist from using abusive language when addressing patients as it
    agitates and discourages them from seeking medical attention.

    Recently, it was reported by the media that Morogoro regional authorities addressed complaints
    raised by patie ...
    Soma zaidi

  • Acheni matumizi ya lugha chafu: Watumishi na wafanyakazi wa Afya, July 2010

    Wataalam wa Afya wameonywa kuacha kutumia lugha chafu wanapohudumia wagonjwa kwani kwa
    kufanya hivyo kunaathiri tabia ya kutafuta matibabu na kuwakatisha tamaa wagonjwa wanaokwenda
    kupata huduma katika vituo vya huduma za afya vya umma.

    Hivi karibuni, Mamlaka ya Mji ...
    Soma zaidi

  • Government should intensify war on ghost workers- July 2010

    The media is awash with reports about 2,924 ghost workers who have been milking from the
    government and finally, have been removed from the payroll system. In fact, the government
    incurred a loss of Tsh7 billion during 2008/9 financial year from these ghost workers.

    ...
    Soma zaidi

  • Medical Practitioners should not mislead pregnant women to opt for the knife-July 2010

    Medical practitioners should not mislead pregnant women to go for caesarean deliveries for their (doctors)
    personal gain.

    Some sections of the media recently reported that the number of Caesarean deliveries is escalating at an
    alarming rate in this country owing to d ...
    Soma zaidi

  • General Budget Support cuts: a case of shifting burden to citizens- June 2010

    THE government should protect against misuse and abuse of public resources to safeguard the development
    partners' budget support contributions for the benefit of the ordinary citizens.


    This follows a report from the development partners who agreed to reduce the ...
    Soma zaidi

  • Je wabunge wataendelea kupitisha Bajeti - June 2010

    Kama wabunge hawana mamlaka ya kubadilisha bajeti iliyosomwa kwa namna yoyote, kama hawapati
    vitabu vya bajeti katika muda muafaka na kama wanapewa bajeti ya jumla ya serikali kuidhinisha, basi
    mchakato mzima wa bajeti hauzingatii ufanisi.


    Kama ilivyoeleza K ...
    Soma zaidi

  • Are MPs going to rubber stamp the Budget - June 2010

    If Members of Parliament (MPs) have no constitutional mandate to change any amounts in the presented
    budget, if they are not given budget books on time, and if they are given highly aggregated budget figures to
    approve, then the whole approval process is nothing but rubber stam ...
    Soma zaidi

  • Distribution of ITNs must not be used for personal gain-June 2010

    Public leaders responsible for distributing insecticide treated mosquito nets (ITNs) under the
    government-rolled Malaria Haikubaliki programme should make sure that the nets reach the
    intended targets. The abuse and misuse of resources and programmes aimed at benefiting the
    Soma zaidi

  • Letter for press release - 2009

    ...
    Soma zaidi
  • Constituency Development Fund- who decides - August 2007

    On 17 August 2007, Prime Minister Edward Lowassa, in his speech to conclude the 8th
    Parliament session in Dodoma, told the nation that 7.5 billion shillings have been approved
    by Parliament for implementation of a Constituency Development Fund (CDF) in financial
    year 20 ...
    Soma zaidi

  • Ukaguzi wa vituo vinavyotoa hunduma zaafya

    Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ipo katika zoezi la kukagua vituo vya afya nchini
    vinavyotoa huduma za afya zikiwemo hospitali, zahanati na maabara. Zoezi hili
    linaloendelea nchini lina lengo la kuhakikisha pamoja na mambo mengine taratibu
    zilizowekwa za utoji wa hudu ...
    Soma zaidi

  • CSO statement to JAHSR- 2003

    These inputs are provided by five NGOs involved in health policy: African Medical Research Foundation (AMREF), Tanzania Health Consumers Association (THCA), Tanzanian Network of Community Health Funds (TNCHF), Tanzania Public Health Association (TPHA), and the Women’s Dignity Project (WD ...
    Soma zaidi

  • CSO statement to JAHSR- 2004

    This statement contains key issues of concern to NGOs engaged in health policyi and provides input to the 2004 Health Sector Review (HSR) and the review of the Poverty Reduction Strategy (PRS). NGOs commend the Government for notable achievements in health service delivery since the inception ...
    Soma zaidi

  • CSO statement to JAHSR- 2005

    ...
    Soma zaidi
  • CSO statement to JAHSR- 2006

    ...
    Soma zaidi
  • CSO statement to JAHSR- October 2009

    ...
    Soma zaidi
  • FEMACT reacts on CDCF - August 2009

    We members of feminist Activist Coalition FemAct over fifty civil society
    organizations(50) who work together to advocate for women and human rights,social
    transformation and the empowerment of all women and marginalised groups we had
    sadly received the desicion of nati ...
    Soma zaidi

  • CSO statement to JAHSR- October 2008

    ...
    Soma zaidi
  • Kauli ya YAV kuhusu kifo cha mama mjamzito- Mwananyamala Hospitali-June 2008

    ...
    Soma zaidi
  • President Obama; fulfill your campaign promise to fund global health –May 2009

    Dar Es Salaam: — Just few weeks after the World Bank published its report on averting a human crisis during the
    global downturn in advance of IMF/WB spring meetings, President Obama on May 7th released his five year $3.55 trillion budget for bilateral AIDS programs (PEPFAR). For ...
    Soma zaidi

  • Tamko la vijana kwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii -July 2007

    Tamko la vijana wa Youth Action Volunteers (YAV) wapatao 600, kwa Mheshimiwa
    Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Profesa David Mwakyusa lililotokana na mjadala
    juu ya kero zinazoikabili jamii katika utolewaji na upatikanaji wa huduma za afya
    uliofanyika Ofisi za Youth Ac ...
    Soma zaidi

  • President Kikwete's Hiv Aids Campaign-Handle with Care-June 2007

    Youth Action Volunteers congratulates the president of Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete on his bold
    move to lead a campaign against HIV and AIDS in Tanzania. It is, we believe, a unique strategy and
    commitment by the highest political leader in Tanzania. Significant poverty redu ...
    Soma zaidi

  • Has Dar City prevented cholera from breaking out? April 2007

    Cholera breaks out in Dar es Salaam almost the same periods of the year for the same causes for many
    years now. One would expect authorities to have implemented preventive measures and make cholera
    history in Dar es Salaam because it kills people every year, it causes pain and ...
    Soma zaidi

  • Statement regarding dishonest Public Officials-April 2007

    Youth Action Volunteers (YAV) appreciates the culture of transparency which has been
    practiced by the government of Tanzania over the past years. YAV welcomes and
    commends the call by President Jakaya Kikwete for dishonest public officials to be held
    accountable for the ...
    Soma zaidi

  • CSO statement to JAHSR- Sept 2007


    ...
    Soma zaidi