Mganga Mkuu wa Wilaya (DMO) katika halmashauri ya Wilaya ya Iramba amekataa ku ...
Soma zaidi
CSOs Statement to Joint Annual Health Sector Review - 5 November, 2012
Honourable Ministers, Permanent Secretaries, honourable Members of Parliament, Chief Medical Officer, staff of the Ministry of Health and Social Welfare, PMO-RALG, representatives of the private sector, development partners, ladies and gentleman, ...
Soma zaidi
DAWA BANDIA – ARV: Maswali zaidi yanahitaji majibu 11 Oktoba, 2012
Read more -->
Soma zaidi
Kifo cha Daudi Mwangosi: Unyama huu hadi lini? Septemba 2012
Sikika imepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha mwandishi wa habari wa kituo cha Channel Ten mkoani Iringa, Daudi Mwangosi. Kwa mujibu wa vyombo vya habari, marehemu Mwangosi alikuwa kazini akitimiza wajibu wake wa kutafuta habari. Tumestushwa zaidi ...
Soma zaidi
Wilaya zakwamisha utoaji taarifa za CAG 15 Juni 2012
Halmashuri za Ilala,Temeke, Kinondoni, Kibaha, Kondoa, na Singida zimeshindwa kutoa kwa wananchi na mashirika ya hiyari taarifa za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali CAG, (2011/12) za wilaya hizo.
Hatua ya kushindwa kutoa taa ...
Soma zaidi
Wabunge hawa ni mfano wa kuigwa Juni 4, 2012
Tunawapongeza wabunge kutoka kamati za Kudumu za Bunge za Huduma za Jamii, Katib ...
Soma zaidi
Viko wapi vitabu vya makadirio ya Bajeti? Mei 27, 2012
Viko wapi vitabu vya makadirio ya Bajeti?
Tumesikitishwa na hatua ya Serikali kushindwa kutoa vitabu vya makadirio ya bajeti, siku 21 kabla ya kikao cha Bunge la bajeti kuanza, jambo ...
Soma zaidi
Hali ya mgomo wa madaktari na haki ya kuishi
Kuanzia tarehe 24 Januari 2012 hadi sasa tumeshuhudia mgomo mkubwa wa madaktari katika hospitali za serikali kwenye mikoa ya Dar es salaam,Dodoma, Mwanza, Kilimanjaro, Mbeya na Tanga,hali inayotishia afya na uhai wa watanzania. Kutoka ...
Soma zaidi
Serikali na madaktari wachukue hatua za haraka kuokoa maisha ya Wananchi, 26 Januari 2012
Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii inatakiwa kuchukua hatua za haraka kumaliza mgogoro baina yao na madaktari ili kuepusha madhara makubwa katika upatikanaji wa huduma za afya nchini. Ijulikane kuwa, jukumu la awali la wizara kwa kushirikiana na m ...
Soma zaidi
Wananchi walioarifiwa – Bajeti iliyoarifiwa
Taarifa kuhusu bajeti zilizotolewa hivi karibuni katika tovuti ya Wizara ya Fedha na Uchumi zimesaidia kuwawezesha wananchi kufuatilia mjadala wa bajeti na kuishauri serikali jinsi ya kutatua kero zinazowakabili.
Vitabu vya bajeti ni nyaraka muhimu inayofafanua jin ...
Soma zaidi
Upungufu wa madawa walemaza Sekta ya Afya, Oktoba 2011
Read more -->
Soma zaidi
Hitilafu za Bajeti zaiangusha Wizara ya Afya Mei 29, 2011
Bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ya mwaka 2010/2011 imejaa mipango isiyofaa na isiyozingatia kanuni, uhalisia na ufanisi hali inayoifanya ishindwe kufanya kazi zake ipasavyo.
Hayo yamebainika kwenye uchambuzi wa bajeti ya Wizara hiyo ya mwaka 2010/11 uliofanywa n ...
Soma zaidi
MoHSW Budget Discrepancies Counterproductive
The Ministry of Health and Social Welfare’s 2010/2011 budget is non-conforming, unrealistic, ineffective and inconsistent which is likely to contribute to its malfunctioning.
This revelation follows the Ministry’s 2010/11budget analysis conducted by Sikika, an N ...
Soma zaidi
Kamati za Bunge kuanza bila nyenzo
Wakati Kamati za Bunge zikianza kesho(Jumatatu) ikiwa ni maandalizi kwa ajili ya Kikao cha Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2011/2012, bado Wabunge hawajakabidhiwa vitabu vya makadirio ya mapato na matumizi ya serikali kwa mwaka huo wa fedha hali ambayo itadhoofisha uwezo wao wa kuchangia ...
Soma zaidi
Government Failed!
The Government has failed to avail 2011/2012 budget books to Members of Parliament 21 days before the Parliament budget session as requested by Parliamentary Standing Orders.
According to Article 96 of the Parliamentary Standing Orders (2007 Edition), Members of Parliament ...
Soma zaidi
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ifungwe
Kwa miaka kadhaa sasa, serikali imeshindwa kufuatilia matokeo na mapendekezo ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa serikali, na hivyo kukosa uwezo wa kuboresha usimamizi wa fedha za umma. Kwa mwaka 2010 kwa mfano, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali ametoahati yenye mashaka kwa Wizara ya A ...
Soma zaidi
Hatua kali zichukuliwe dhidi watumishi wa afya wanaojihusisha na rushwa!
Serikali ichukue hatua kali dhidi ya watumishi wa afya wanaothibitika kujihusisha na vitendo vya rushwa wakati huohuo wananchi wasifumbie macho matukio ya rushwa kama tuna nia ya dhati ya kuondoa tatizo la rushwa katika vituo vya afya.
Hivi karibuni, vyombo vya habari vimeripoti kwa ...
Soma zaidi
Tighten screws on corrupt health workers!
The government should take strict measures against corrupt health workers while the general public put an end to befriending corrupt health workers if any hopes of reducing the vice are to be entertained.
Recently, the media reported that midwives at Temeke hospital refused ...
Soma zaidi
Tsh176million squandered through congratulatory adverts, April 2011
After the 31st October 2010 general election, various government departments and parastatal organizations spent Tsh 175, 639,750 on 217 congratulatory messages to winners, in the form of advertisements which have been published in various newspapers and other forms of media from the 8th of Nov ...
Soma zaidi
Million 176 zatumika kutuma salamu za pongezi, Aprili 2011
Baada ya uchaguzi mkuu wa kugombea urais uliofanyika tarehe 31 Oktoba 2010, Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia taasisi, idara na mashirika mbalimbali ya umma ilitumia shilingi 175,639,750 kwa ajili ya kutoa salamu 217 za pongezi zilizochapishwa katika vyombo mbalimbali vya ha ...
Soma zaidi
Make budget books available on time! Feb 2011
Timely publishing of national budget information to the general public and legislators, by the
government, is a vital step towards increasing transparency in the budgeting process. It also serves as a
model for other countries all over the world.
A speech presented b ...
Soma zaidi
Kuweka wazi vitabu vya bajeti! Feb 2011
Serikali kuweka wazi vitabu vya bajeti kwa wananchi na wabunge ni jambo muhimu katika
kuhimiza Uwazi na uwajibikaji katika mchakato wa bajeti.Pia ni mfano wa kuigwa kwa nchi
nyingine.
Katika hatuba iliyotolewa tarehe 7 Desemba 2010 na kamishina wa bajeti bi Monica Mw ...
Soma zaidi
Vichanga vilivyotupwa jalalani Mwananyamala kwa kopa, Feb 2011
Sikika imepokea kwa masikitiko makubwa sana habari za kugundulika kwa miili 10 ya watoto wachanga waliokuwa wametupwa katika shimo dogo la takataka huko karibu na eneo la makaburi ya Mwananyamala kwa Kopa tarehe 31 Januari 2011. Kwanza tunatanguliza pole kwa wahusika pamoja na wakazi wa eneo a ...
Soma zaidi
Uhaba wa wafanyakazi wa Afya, ni kushindwa kwa Serikali kuwajibika, Dec 2010
Maafisa utumishi wa halmashauri na watumishi wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma wanapaswa kuangalia mafanikio yao kwa kutatua tatizo la uhaba wa wafanyakazi wa afya, ambalo linarudisha nyuma ubora na ufanisi wa utoaji wa huduma za afya. Wanapaswa kushirikiana kwa ukaribu na Wizar ...
Soma zaidi
Health worker shortages, a government's failure to be accountable, Dec 2010
Councils’ Human Resources Officers and President’s Office for Public Services Management (PoPSM) officials should look to their laurels by addressing council specific medical staff shortages that compromise quality and quantity of healthcare service delivery. They should closely co ...
Soma zaidi
Hon Maige's 'cleaning' of ministry commendable, Dec 2010
The Minister of Natural Resources and Tourism, Ezekiel Maige’s move to ‘clean’ by investigating misdeeds committed in the ministry and imposing a ban on international trips is the right step in the direction of reducing unnecessary use of taxpayer’s money.
Soma zaidi
CSO statement to PMO-RALG, Oct 2010
...
Soma zaidi
Rushwa Ndogo Ndogo Inachafua Taaluma ya Utatibu, Oct 2010
Rushwa hapa nchini, imejitokeza katika aina mbili; rushwa ndogondogo na rushwa kubwa. Rushwa ndogo ndogo imekuwa tishio kwa Serikali kwani zimeendelea kukithiri katika sekta ya afya. Hali hii siyo tu inawaathiri watu wenye kipato cha chini (wasio na uwezo wa kutoa hongo), bali pia inachafua ta ...
Soma zaidi
Petty corruption taints medical profession, Oct 2010
With corruption in this country rearing its ugly head in form of both petty and grand corruption, it has been a thorn in the flesh for the government as it continues to dominate the health sector and not only disadvantaging those without the means (the poor) but tainting the reputation of the ...
Soma zaidi
CSO statement to JAHSR - Sept 2010
...
Soma zaidi
CSO statement to Joint HIV/AIDS Biennial Review - Sept 2010
...
Soma zaidi
Unnecessary expenditures to rise 537 bn Tsh by (2010/11)FY
Despite the insufficient funds for the national budget, there are items in this budget that are
considered unnecessary due to their perceived negligible utility to the majority of Tanzanians.
It is fortunate that the government has also recognized this problem of un ...
Soma zaidi
Matumizi yasiyo ya lazima kuongezeka kufika Tsh. 537bn kwa mwaka wa fedha 2010/11
Pamoja na ufinyu wa bajeti ya taifa, kuna baadhi ya vipengele katika bajeti hii ambavyo
vinaonekana kuwa havina tija kutokana kwamba haviwanufaishi watanzania walio wengi.
Ni bahati kwamba serikali pia inalitambua tatizo hili la matumizi yasiyo ya lazima kwa wananch ...
Soma zaidi
Protect yourselves against cholera: Wananchi, Sept 2010
Citizens should be on high alert and guard against cholera following an outbreak of the
obnoxious disease claimed four in Tarime recently.
According to media reports, doctors coordinating an anti-cholera campaign in the district
revealed that the number of c ...
Soma zaidi
Health sector challenges not a license to corruption, August 2010
Health officials should shun corruption and do their work diligently despite challenges they
might face.
This comes amid reports that expectant mothers at Nyamongo village in Tarime District are
complaining over corrupt practices shrouding services at Sungus ...
Soma zaidi
Stop using abusive language: Health Officials and Workers, July 2010
Medical practitioners should desist from using abusive language when addressing patients as it
agitates and discourages them from seeking medical attention.
Recently, it was reported by the media that Morogoro regional authorities addressed complaints
raised by patie ...
Soma zaidi
Acheni matumizi ya lugha chafu: Watumishi na wafanyakazi wa Afya, July 2010
Wataalam wa Afya wameonywa kuacha kutumia lugha chafu wanapohudumia wagonjwa kwani kwa
kufanya hivyo kunaathiri tabia ya kutafuta matibabu na kuwakatisha tamaa wagonjwa wanaokwenda
kupata huduma katika vituo vya huduma za afya vya umma.
Hivi karibuni, Mamlaka ya Mji ...
Soma zaidi
Government should intensify war on ghost workers- July 2010
The media is awash with reports about 2,924 ghost workers who have been milking from the
government and finally, have been removed from the payroll system. In fact, the government
incurred a loss of Tsh7 billion during 2008/9 financial year from these ghost workers.
...
Soma zaidi
Medical Practitioners should not mislead pregnant women to opt for the knife-July 2010
Medical practitioners should not mislead pregnant women to go for caesarean deliveries for their (doctors)
personal gain.
Some sections of the media recently reported that the number of Caesarean deliveries is escalating at an
alarming rate in this country owing to d ...
Soma zaidi
General Budget Support cuts: a case of shifting burden to citizens- June 2010
THE government should protect against misuse and abuse of public resources to safeguard the development
partners' budget support contributions for the benefit of the ordinary citizens.
This follows a report from the development partners who agreed to reduce the ...
Soma zaidi
Je wabunge wataendelea kupitisha Bajeti - June 2010
Kama wabunge hawana mamlaka ya kubadilisha bajeti iliyosomwa kwa namna yoyote, kama hawapati
vitabu vya bajeti katika muda muafaka na kama wanapewa bajeti ya jumla ya serikali kuidhinisha, basi
mchakato mzima wa bajeti hauzingatii ufanisi.
Kama ilivyoeleza K ...
Soma zaidi
Are MPs going to rubber stamp the Budget - June 2010
If Members of Parliament (MPs) have no constitutional mandate to change any amounts in the presented
budget, if they are not given budget books on time, and if they are given highly aggregated budget figures to
approve, then the whole approval process is nothing but rubber stam ...
Soma zaidi
Distribution of ITNs must not be used for personal gain-June 2010
Public leaders responsible for distributing insecticide treated mosquito nets (ITNs) under the
government-rolled Malaria Haikubaliki programme should make sure that the nets reach the
intended targets. The abuse and misuse of resources and programmes aimed at benefiting the
Soma zaidi
Letter for press release - 2009
...
Soma zaidi
Constituency Development Fund- who decides - August 2007
On 17 August 2007, Prime Minister Edward Lowassa, in his speech to conclude the 8th
Parliament session in Dodoma, told the nation that 7.5 billion shillings have been approved
by Parliament for implementation of a Constituency Development Fund (CDF) in financial
year 20 ...
Soma zaidi
Ukaguzi wa vituo vinavyotoa hunduma zaafya
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ipo katika zoezi la kukagua vituo vya afya nchini
vinavyotoa huduma za afya zikiwemo hospitali, zahanati na maabara. Zoezi hili
linaloendelea nchini lina lengo la kuhakikisha pamoja na mambo mengine taratibu
zilizowekwa za utoji wa hudu ...
Soma zaidi
CSO statement to JAHSR- 2003
These inputs are provided by five NGOs involved in health policy: African Medical Research Foundation (AMREF), Tanzania Health Consumers Association (THCA), Tanzanian Network of Community Health Funds (TNCHF), Tanzania Public Health Association (TPHA), and the Women’s Dignity Project (WD ...
Soma zaidi
CSO statement to JAHSR- 2004
This statement contains key issues of concern to NGOs engaged in health policyi and provides input to the 2004 Health Sector Review (HSR) and the review of the Poverty Reduction Strategy (PRS). NGOs commend the Government for notable achievements in health service delivery since the inception ...
Soma zaidi
CSO statement to JAHSR- 2005
...
Soma zaidi
CSO statement to JAHSR- 2006
...
Soma zaidi
CSO statement to JAHSR- October 2009
...
Soma zaidi
FEMACT reacts on CDCF - August 2009
We members of feminist Activist Coalition FemAct over fifty civil society
organizations(50) who work together to advocate for women and human rights,social
transformation and the empowerment of all women and marginalised groups we had
sadly received the desicion of nati ...
Soma zaidi
CSO statement to JAHSR- October 2008
...
Soma zaidi
Kauli ya YAV kuhusu kifo cha mama mjamzito- Mwananyamala Hospitali-June 2008
...
Soma zaidi
President Obama; fulfill your campaign promise to fund global health –May 2009
Dar Es Salaam: — Just few weeks after the World Bank published its report on averting a human crisis during the
global downturn in advance of IMF/WB spring meetings, President Obama on May 7th released his five year $3.55 trillion budget for bilateral AIDS programs (PEPFAR). For ...
Soma zaidi
Tamko la vijana kwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii -July 2007
Tamko la vijana wa Youth Action Volunteers (YAV) wapatao 600, kwa Mheshimiwa
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Profesa David Mwakyusa lililotokana na mjadala
juu ya kero zinazoikabili jamii katika utolewaji na upatikanaji wa huduma za afya
uliofanyika Ofisi za Youth Ac ...
Soma zaidi
President Kikwete's Hiv Aids Campaign-Handle with Care-June 2007
Youth Action Volunteers congratulates the president of Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete on his bold
move to lead a campaign against HIV and AIDS in Tanzania. It is, we believe, a unique strategy and
commitment by the highest political leader in Tanzania. Significant poverty redu ...
Soma zaidi
Has Dar City prevented cholera from breaking out? April 2007
Cholera breaks out in Dar es Salaam almost the same periods of the year for the same causes for many
years now. One would expect authorities to have implemented preventive measures and make cholera
history in Dar es Salaam because it kills people every year, it causes pain and ...
Soma zaidi
Statement regarding dishonest Public Officials-April 2007
Youth Action Volunteers (YAV) appreciates the culture of transparency which has been
practiced by the government of Tanzania over the past years. YAV welcomes and
commends the call by President Jakaya Kikwete for dishonest public officials to be held
accountable for the ...
Soma zaidi
CSO statement to JAHSR- Sept 2007
...
Soma zaidi