Leta Mabadiliko Boresha Huduma za afya - Mwongozo wa Mwananchi - 2013
Ili kuishi maisha marefu na ya furaha, kila mtu anahitaji kupata huduma bora za afya. Kwa bahati mbaya, Tanzania ni nchi masikini na mfumo wake wa huduma za afya unakabiliwa na uhaba wa fedha ambao husababisha vikwazo kama vile; mazingira magumu ya kufanyia kazi na utendaji usio na tija.
File Name: | publication403.pdf |
File Size: | 9.73 MB |
File Type: | application/pdf |
Hits: | 390 Hits |
Created Date: | 06-07-2013 |
Last Updated Date: | 06-07-2013 |